SUAMEDIA
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA
No Result
View All Result

Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

by Gerald Lwomile
July 28, 2021
min read2 min

Na Gerald Lwomile

Dar Es Salaam

Imeelezwa kuwa ili Tanzania iendelee kubaki katika Uchumi wa Kati, tafiti mbalimbali za kimataifa zimeonesha ni lazima nchi  iwe na rasimali watu wenye elimu ya juu kwa asilimia 12 na ujuzi wa kati kwa asilimia 26 vinginevyo inashuka kiuchumi

Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhandisi Zena Ahmed Said akifungua maonesho ya TCU 2021

Akizungumza Julai 27, 2021 katika ufunguzi wa Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu nchini Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhandisi Zena Ahmed Said amesema kutokana na tafiti hizo Tanzania haina budi kuhakikisha inakuwa na idadi hiyo ya rasimali watu ili kuinua uchumi wake

Mhandisi Zena amesema kwa tafiti za mwaka 2016 nchini Tanzania rasimali watu wenye elimu ya juu ni asilimia 3.3 huku wenye ujuzi wa kati ikiwa ni asilimia 17 tu jambo linalotengeneza tafsiri kuwa taasisi za elimu ya juu nchini bado zina kazi kubwa kuhakikisha zinazalisha rasimali iliyobaki ili kufikia malengo

“Wastani huu bado uko chini sana hivyo ni muhimu kuendelea kuweka mipango itakayoongeza idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu ili wapate ujuzi na maarifa yanayotakiwa sokoni”,  amesema Mhandisi Zena

Amesema kuwa mkakati wa kitaifa wa kukuza ujuzi na maarifa ulioanza mwaka 2015 ni mkakati endelevu ambao ni muhimu sana kwa taifa ambao umefanya mengi kwa elimu ya juu na kati na kusisitiza kuwa ni vyema kuangalia nchi zingine zimefanikiwa vipi

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Prof. Raphael Chibunda aliyekaa katikati akiwa katika picha ya pamoja na waoneshaji kutoa SUA, kulia waliokaa ni Mkurugenzi wa Kurugenzi wa Shahada za Awali SUA Dkt. Nyambilila Amuri

Awali akimkaribisha mgeni rasmi kufungua maonesho hayo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe amesema kuwa maonesho ya TCU ni muhimu sana kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita lakini pia na wanafunzi kwa ujumla

Amesema umuhimu wa maonesho hayo ni pamoja na kumsaidia mwanafunzi wa kidato cha tano kuamua na kujiwekea malengo ya kuamua nini akifanye katika kuhakikisha anafikia ndoto zake

“Maonesho haya ni muhimu kwa ajili ya kujiandaa na mtihani wako wa kidato cha sita, ni wakati mzuri sasa wa kujua ni kitu gani hasa utaenda kusoma baada ya mtihani wako wa kidato cha sita na taasisi zetu zote za elimu ya juu ziko hapa” amesema Prof. Mdoe

Maonesho ya Vyuo Vikuu yanaendelea kwa kuingia siku ya tatu tarehe 28 Julai, 2021 na yanatajiwa kumalizika rasmi tarehe 31 Julai, 2021 mwaka huu,  maonesho haya yamebeba kauli mbiu isemayo “Kuendeleza, Kukuza na Kudumisha Uchumi wa Kati kupitia Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia”

Mkurugenzi wa Kurugenzi za Shahada ya Awali Dkt. Nyambilila Amuri waliokaa katikati akiwa katika picha ya pamoja na waoneshaji kutoka SUA, kushoto waliokaa ni Mratibu wa maonesho kutoka SUA Dkt. Innocent Babili na kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko SUA Mariam Mwayela

ShareTweetShare

Related Posts

Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
Kimataifa

Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

April 12, 2022
31
Habari

Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

July 27, 2021
154
SADC yatoa Dola Milion 6 Ujenzi wa Reli ya Kimataifa ya Mtwara-Mbambabay
Kitaifa

SADC yatoa Dola Milion 6 Ujenzi wa Reli ya Kimataifa ya Mtwara-Mbambabay

July 16, 2021
87
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame
Kimataifa

Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame

June 4, 2021
34
Takribani watu milioni 600 duniani kila mwaka wanaugua maradhi yatokanayo na chakula ambacho si salama
Afya

Takribani watu milioni 600 duniani kila mwaka wanaugua maradhi yatokanayo na chakula ambacho si salama

June 4, 2021
44
WHO yatangaza majina mapya yatakayotumiwa kuita aina mbalimbali za Virusi vya Covid-19
Afya

WHO yatangaza majina mapya yatakayotumiwa kuita aina mbalimbali za Virusi vya Covid-19

June 3, 2021
25

HABARI MPYA

  • SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
  • Habari katika Magazeti ya Leo July 29
  • Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
  • Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania