SUAMEDIA | Sokoine University of Agriculture TV and Radio
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA | Sokoine University of Agriculture TV and Radio
No Result
View All Result
Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

by Tatyana Celestine
July 6, 2021
min read2 min

Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara imefanikiwa kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu utambuzi wa wakulima ambapo hadi sasa kupitia Mfumo wa M-Kilimo tayari wakulima 1,979,662 na Maafisa Ugani 6,840 wamesajiliwa kwenye mfumo hatua inayosaidia kufikisha huduma za ugani na masoko kwa haraka.

 


Bashe ametoa kauli hiyo jana(04.07.2021) wakati alipoongea na Waandishi wa habari ofisini kwake Dodoma ambapo amesema lengo la wizara ya kilimo ni kusajili wakulima takribani milioni 6 kupitia kaya zao hatua itakayosaidia utambuzi na ufikwishwaji wa huduma za ugani ili kuwezesha tija kwenye kilimo kupatikana.

Aliongeza kusema kuwa ili wizara iweze kuwahudumia wakulima ni lazima kuwatambua na kufahamu mahala walipo ndio maana ikaanzisha mfumo wa kiteknolojia wa usajili wa wakulima (M-Kilimo) ambao sasa umefika mikoa yote ya Tanzania Bara.

” Katika bajeti ya mwaka 2021/22 wizara imepanga kufundisha maafisa ugani (re-training) ili waweze kusaidia wakulima kuongeza tija kwenye uzalishaji mazao ambapo ili lengo hilo lifanikiwe lazima uwatambue wakulima ndio maana tumeanzisha mfumo huu wa Mobile Kilimo ambapo wakulima wanasajiliwa kupitia maafisa ugani kwenye kata.” aliema Bashe.
Akizunguza juu ya umuhimu wa mfumo huo Naibu Waziri Bashe alisema mfumo M-Kilimo utasaidia kupima kazi zaMaafisa ugani Kilimo katika maeneo ya kiutendaji kwa kuwa takwimu zinaonesha kila ushauri alioutoa kwa mkulima ikiwa ni wa ana kwa ana (physical consultation) au kupitia njia ya mtandao (online consultation).

“ Hadi sasa jumla ya maswali ya wakulima yapatayo 7,792 yamepokelewa na kujibiwa na maafisa Ugani Kilimo kupitia mfumo wa M-Kilimo unaoratibiwa na Wizara ya Kilimo” alisisitiza Bashe na kuongeza kuwa wizara inatarajia kufungua kituo cha huduma kwa wakulima (Call Centre) kuwezesha wakulima kupiga simu na kujibiwa maswali yao kwa haraka zaidi.

Katika hatua nyingine Bashe ametaja mikoa iliyofanya vizuri kwenye usajili wa wakulima kuwa ni Morogoro (153,977), Njombe (153,158) na Mara (148,772) huku mikoa ambayo bado ipo chini ikiwa ni Pwani imesajili wakulima 14,784) na Mtwara (28,000) .

Kufuatia hatua hiyo Bashe ametoa wito kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuwawezesha maafisa ugani wao wa wilaya kusajili na kuhamasisha wakulima ili waingie kwenye mfumo wa M-Kilimo kuwezesha kufikia lengo la kukuza tija kwenye uzalishaji mazao ya kilimo kupitia huduma bora za ugani.

Ili kuleta ufanisi kwenye usajili wa wakulima Naibu Waziri huyo wa wizara ya Kilimo alisema kupitia bajeti 2021/22 inatarajia kununua simu za mkononi za kisasa (smartphones ) na kuzigawa kwa Maafisa Ugani kote nchini ili zitumike kusajili wakulima  kwa kutumia teknolojia maalum (App)

 

Naye Mratibu wa Mfumo wa M-Kilimo Rajab Mkalange amesema mfumo huu ni wa kiteknolojia unaoweza kumsaidia mkulima kupata huduma za ugani na masoko kupitia maswali kwenye simu yake ya kiganjani kuwasiliana na Afisa Ugani ngazi za kijiji, kata, wilaya na Wizarani.

Aliongeza kusema mfumo huu tangu uliopanza kufanya kazi mwanzoni mwa mwaka huu umewezesha kupunguza tatizo la upungufu wa maafisa ugani kwa kuwa wakulima wanaweza kupata huduma hizo pale wanapokuwa wamesajiliwa kwenye mfumo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mifumo ESRF John Kajiba alisema taasisi yake ilifanya utafiti kwenye mikoa ya Kagera na Mara kuhusu mahitaji ya wakulima kwenye huduma za ugani na kugundua kuwa wakulima wanahitaji taarifa za huduma za ugani na masoko kwa haraka kutaboresha tija kwenye Kilimo.

Kajiba aliongeza kusema kuwa kupitia utafiti huo ndipo wakaanzisha ushirikiano na Wizara ya Kilimo kuanzisha mfumo wa M-Kilimo unaotekelezwa kote nchini .

Wakulima wanaweza kujiunga na Mfumo wa M-Kilimo kupitia simu zao za mkononi ambapo wanaweza kubonyeza *152*00# na kuchagua neon Huduma za Serikali kisha kubofya namba 7 Kilimo.

Mwisho
Imeandaliwa na :
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Kilimo

Source: MPEKUZI
Via: SUAMEDIA
ShareTweetShare

Related Posts

Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba
Kilimo

Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

April 12, 2022
24
Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa
Kitaifa

Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

July 26, 2021
25
Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana
Kilimo

Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

July 26, 2021
41
SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii
Tafiti

SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

July 13, 2021
123
Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania
Kilimo

Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

July 14, 2021
58
Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu
Habari

Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

July 6, 2021
31

HABARI MPYA

  • SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
  • Habari katika Magazeti ya Leo July 29
  • Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
  • Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania