SUAMEDIA
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA
No Result
View All Result
Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

by Tatyana Celestine
July 26, 2021
min read2 min

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali kwa kushirikiana na taasisi za fedha imejipanga kuagiza mbegu bora na kuzigawa kwa wamiliki wa viwanda vya mafuta nchini ili waweze kuingia mikataba na wakulima wakubwa, au vyama vya Ushirika ambavyo vitaingia mikataba na wakulima ili kuwapatia mbegu hizo kwa ajili ya kuongeza uzalishaji na tija katika mazao ya kilimo.

Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda ameyasema hayo tarehe 24 Julai 2021 katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma wakati akizindua shughuli za Kampuni ya PASS Leasing ambayo ni kampuni tanzu ya PASS Trust, iliyosajiliwa na benki kuu, kutoa huduma za kukopesha mikopo ya zana za kilimo bila dhamana.

Waziri Mkenda amesema kuwa changamoto inayoikabili sekta ya kilimo ni uchache wa uzalishaji mbegu nchini, Uwezeshaji wa Maafisa Ugani pamoja na Zana za Kilimo, hivyo ili kukabiliana na changamoto hizo tayari serikali imekuja na muarobaini.

Mafuta ya alizeti ni mazuri kuliko mengine hivyo katika kuimarisha afya za watanzania, mkakati huo wa kuongeza uzalishaji na tija katika mazao ya mafuta hususani zao la alizeti itaimarishwa ambapo tayari mikoa mitatu ya Simiyu, Singida na Dodoma imewekwa kama mikoa ya mfano katika uzalishaji.

Akizungumzia kuhusu Maadhimisho hayo, Waziri Mkenda amesema kuwa wiki ya kilimo kwa PASS Trust ambayo inafanyika jijini Dodoma, chini ya kauli mbiu “Pamoja tuwezeshe upatikanaji wa fedha kwa kilimo endelevu, kwa ushirikiano na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe Antony Mtaka imeandaliwa wakati muafaka ambapo serikali inatilia mkazo kampeni zinazolenga kuinua kilimo cha mazao ya kimkakati nchini.

Katika hafla hiyo, Waziri Mkenda amezindua Kampuni ya Pass Leasing ya kukopesha wakulima zana za Kilimo bila dhamana na kwa riba nafuu pamoja na kukabidhi zana za kilimo za kisisa kwa wateja wanne wa kwanza ambazo ni matrekta matatu na mtambo wa kuvunia mpunga.

Waliokabidhiwa ni; Kampuni ya Magic LN Suppliers ya Chalinze mkoani Pwani ambayo imekopeshwa mtambo wa kuvunia mpunga wenye thamani ya sh. Mil. 79, Anthony Maganga wa Igunga Tabora aliyepata Trekta aina ya New Holland lenye thamani ya sh. Mil. 54.

Wengine ni Japhet Ndebezi wa Chamwino mkoani Dodoma aliyekopeshwa Trekta lenye thamani ya sh. Mil. 46 na Mwandishi wa Habari Mwanzo Millinga wa Ruvuma ambaye amepata Trekta aina ya John Deere pamoja na majembe yake lenye thamani ya sh. Mil. 71.4.

Makabidhiano hayo yamefanyika mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka na viongozi wa Taasisi Pass Trust pamoja na wananchi waliohudhuria Wiki ya Pass Trust kwenye viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Mikopo inayotolewa na Kampuni ya Pass Leasing kwa upande wa kilimo ni; zana za kuwezesha uzalishaji wa kilimo cha mazao, usindikaji, uhifadhi wa mazao na usafirishaji.

Kwa upande wa uvuvi ni; vifaa uvuvi na mashine zote zitumikazo kuongeza tija katika sekta ya uvuvi. Ufugaji nyuki ni; Vifaa mbalimbali  vya kuongeza tija na thamani katika sekta ya nyuki na  mazao yatokayo na  na nyuki.

Ufugaji ni; Vifaa na mashine za kuongeza tija katika sekta ya ufugaji na kwa upande wa misitu ni vifaa na mashine zitumikazo kwenye misitu na viwanda vya mbao.

Source: MPEKUZI
Via: SUAMEDIA
ShareTweetShare

Related Posts

Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba
Kilimo

Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

April 12, 2022
23
Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa
Kitaifa

Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

July 26, 2021
24
SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii
Tafiti

SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

July 13, 2021
121
Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania
Kilimo

Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

July 14, 2021
54
Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo
Kilimo

Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

July 6, 2021
37
Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu
Habari

Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

July 6, 2021
30

HABARI MPYA

  • SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
  • Habari katika Magazeti ya Leo July 29
  • Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
  • Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania