SUAMEDIA | Sokoine University of Agriculture TV and Radio
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA | Sokoine University of Agriculture TV and Radio
No Result
View All Result
SADC yatoa Dola Milion 6 Ujenzi wa Reli ya Kimataifa ya Mtwara-Mbambabay

SADC yatoa Dola Milion 6 Ujenzi wa Reli ya Kimataifa ya Mtwara-Mbambabay

by Tatyana Celestine
July 16, 2021
min read2 min

Na. Beatrice Sanga-Maelezo
Jumuiya ya kiuchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wametoa Dola za Kimarekani milioni 6 kwa ajili ya kufanyika upembuzi  yakinifu wa ujenzi  wa reli ya kimataifa ya Mtwara mpaka Mbambabay ambayo inategemewa kufungua fursa nyingi kwa wananchi wa Mtwara na kanda ya Kusini

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha mkutano wa SADC ambao unahusisha mawaziri wa fedha na uwekezaji wa nchi wanachama wa jumuiya ya SADC uliofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Akieleza mambo ambayo yanaendelea kujadiliwa na mafanikio ambayo yamefikiwa kutokana na kikao hicho Waziri jamal Kassim ali amesema kikao hicho kimepata fursa ya kujadili mambo mbalimbali yanayohusu sera ya kifedha , za kikodi pamoja na uwekezaji na biashara katika Kanda ya Jumuiya ya SADC ambapo pamoja na hayo fedha zilizotolewa na SADC zinaenda kusaidia upembuzi yakinifu wa ujenzi wa reli hiyo ya Mtwara-Mbambabay ambayo itaenda kufungua uchumi wa Mtwara na kanda nzima ya kusini

“jambo kubwa ambalo ningependa mjue ni kwamba katika mwendelezo wa vikao hivi wenzetu wa SADC wameweza kutupatia takribani Dola milioni 6 kwa ajili ya kufanya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa reli ya Mtwara mpaka Mbambabay ambayo itajengwa ili kurahisisha na kuifungua Mtwara na kanda hii ya kusini kiuchumi na mpaka sasa tayari SADC wametupatia pesa hizo” amesema Mh. Jamal Kassim Ali

Mh. Jamal Kassim Ali, ameongeza kuwa  katika vikao vilivyopita mambo mbalimbali yamejadiliwa ikiwemo kuanzishwa kwa mfuko wa maendeleo wa nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC wenye lengo la kuchochea maendeleo katika nchi wanachama  na kuzitaka nchi zote wanachama wa Jumuiya ya SADC  kushikana mikono kuhakikisha kwamba mfuko huu muhimu unaanzishwa

“ sisi kama Tanzania kama ambavyo tumekuwa vinara katika kuhakikisha masuala ya ukombozi wa SADC  kisiasa, sasa tunakwenda na ajenda hii tuwe vinara katika ukombozi wa kisiasa lakini pia ukombozi wa kiuchumi. Tunaomba nchi zote wanachama wa Jumuiya ya SADC kwa umuhimu ambao mfuko huu utakuwa katika uchumi wa nchi zetu kuna haja kama nchi zote wanachama wa jumuiya ya SADC tushikane kuhakikisha kwamba chombo hiki muhimu tunakianzisha” amesema Mhe. Jamal Kassim Ali

Aidha ameongeza kuwa kutokana na changamoto ya ugonjwa wa uviko 19 (COVID  19) uchumi wa nchi nyingi ikiwemo Tanzania umeathirika hivyo kupitia vikao hivyo hoja mbalimbali zitafikishwa kupitia jukwaa hilo la SADC kama chombo cha kikanda kuweza kueleza namna gani tunaweza tukasimama pamoja kupeleka sauti zetu na kusema zile changamoto zetu ambazo ni kodi na masharti yaliyotokana na makubaliano yaliyokuwepo.

“ kwa bahati nzuri wenzetu waAfrika Kusini wao ni wanachama katika jumuiya ya G20 ambayo inahusisha nchi nyingi ambazo zinatusaidia kwahiyo kupitia wao tunataka kupeleka ujumbe wetu kwamba katika maeneo muhimu tunaona ipo haja yale mambo au masharti ambayo yamewekwa yatizamwe upya ikiwemo swala la utozaji wa kodi na kuongezeka kwa riba na masharti mengineyo yanayohusu uratibu wa malipo , kwa hiyo kupitisa jukwaa hili la SADC  tutapeleka hii hoja kupitia wenzetu Afrika Kusini ambao ndo nchi pekee kutoka SADC wanaoingia wakapaze sauti hii” amesema Mhe. Jamal Kassim Ali

Source: MPEKUZI
Via: SUAMEDIA
ShareTweetShare

Related Posts

SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
Kitaifa

SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

April 12, 2022
320
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
Kitaifa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

April 12, 2022
233
Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
Habari

Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

April 12, 2022
91
Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
Kimataifa

Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

April 12, 2022
33
Kimataifa

Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

July 28, 2021
90
KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji
Kitaifa

KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

July 27, 2021
16

HABARI MPYA

  • SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
  • Habari katika Magazeti ya Leo July 29
  • Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
  • Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania