SUAMEDIA
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Maonesho TCU yaingia siku ya tatu

    Ili Tanzania ibaki katika uchumi wa kati lazima Vyuo Vikuu vizalishe wasomi zaidi

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

    Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha Maslahi ya Watumishi, chapeni kazi

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Wakulima 99,468 Bariadi kunufaika na mfumo mpya wa kilimo cha pamba

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Tafiti za Wadudu wadhurifu zilete matokeo chanya kwa Taifa Udhibiti wa Magonjwa

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Waziri wa Kilimo azindua Kampuni ya kukopesha zana za Kilimo bila dhamana

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Matapeli 5 Wa Ardhi Bagamoyo watiwa Mbaroni

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    Waziri Lukuvi amemaliza Mgogoro wa Ardhi uliodumu zaidi ya Miaka Saba Pwani

    SUA kuwajengea uwezo Watafiti katika kuandaa, kufikisha tafiti zao kwa jamii

    SUA yaongoza kitaifa katika ubora wa Tafiti, Machapisho ya Sayansi ya  Kilimo

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Kilimo Ikolojia na Mifumo ya Chakula nchini Tanzania

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajliwa Kupitia Mfumo Wa M-kilimo

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    Majaliwa: Tumedhamiria kuendeleza Zao la Zabibu

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA
No Result
View All Result
Wafugaji na wakulima wilayani Kongwa hatarini kukosa malisho

Wafugaji na wakulima wilayani Kongwa hatarini kukosa malisho

by Gerald Lwomile
June 25, 2021
min read3 min

Na Gerald Lwomile, Kongwa

Jamii ya wafugaji na wakulima katika wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma iko katika hatari kubwa ya kukosa malisho ya wanyama na maeneo ya kilimo kufuatia kuwepo kwa gugu hatari maarufu kama Gugu Kongwa au Mahata kuendelea kueneo kwa wingi katika maeneo mbalimbali wilayani humo

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Suleiman Serera akiongea na waandishi wa habari wakati wa mrejesho wa utafiti kuhusu namna ya kudhibiti Gugu Kongwa

Hayo yamesemwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Suleiman Serera wakati wa mrejesho wa utafiti kuhusu namna ya kudhibiti Gugu Kongwa uliotolewa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wilayani humo hivi karibuni

Dkt. Serera amesema endapo gugu hilo litaendelea kuenea katika maeneo mengi wilayani humo linaweza kusababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa ya malisho kwani wakazi wengi katika wilaya ya Kongwa ni wafugaji ambao hata hivyo wamekuwa na maeneo machache ya malisho jambo ambalo mara nyingine husababisha ugomvi baina ya wakulima na wafugaji

Amesema pamoja na kuwepo kwa Gugu Kongwa lakini pia ni vyema watafiti hao wakaangalia namna ya kuliona kama fursa kwa kufanya tafiti zaidi namna gani linaweza kutumika kwani magugu kama hayo mara nyingine ni vigumu kuyaondoa kabisa katika maeneo ambayo tayari yameenea kwa wingi

“Kwa hiyo tunataka hii mimea waingalie maana wao waliangalia eneo moja tu kuwa ni tatizo wakilenga kupata malisho zaidi lakini sisi tunataka waiangalie je hata kama malisho tunakosa lakini mimea hii inaweza kufanya kitu gani kingine?” amesema Dkt. Serera

Akitoa matokeo ya awali baada ya utafiti wa miaka miwili ulioanza mwaka 2019 Mkuu wa Mradi huo Dkt. Ismail Suleiman amesema kwa sasa Gugu Mahata limeendelea kumea katika maeneo mengi mkoani Dodoma na kuwa hatua za kitafiti bado zinaendelea ili kujua ni namna gani Rafiki ya kudhibiti gugu hilo

“Aidha mikoa yenye mazingira yanayopendelewa sana yaani ‘highly suitable’ na gugu hili ni Dodoma, Singida na Manyara lakini pia mikoa mingine inayopendelewa kwa wastani yaani ‘suitable’ ni mikoa ya Arusha, Lindi, Tanga, Kilimanjaro, Mtwara, Morogoro na mikoa ya Nyanda za Juu Kusini” amesema Dkt. Suleiman

Dk Suleiman ameongeza kuwa maeneo yanayopata wastani mdogo wa mvua kwa mwaka kuanzia milimita 500 hadi milimita 800 hupendelewa zaidi na gugu hili aidha maeneo yanayopata mvua nyingi zaidi katika mwezi wa kwanza Januari hupendelewa zaidi na gugu hili.

Mkuu wa Mradi huo Dkt. Ismail Suleiman akionyesha mbagu Melia zinazoweza kupandwa ili kuotesha mti huo

Amesema Gugu hilo linapendelea zaidi kumea katika maeneo ya machunga na kilimo hasa yaliyopumzishwa na linakuwa vizuri katika mchanganyiko wa udongo wa kichanga, mfinyanzi na tifutivu

Naye Mtafiti Mwanafunzi ambae amefanya utafiti wa namna ya kuangamiza gugu hilo Bw. Notkery Mwalongo amesema majaribio mengi ya kudhibiti gugu hilo yamefanyika ikiwa ni pamoja na kutumia miti na mazoa adui wa gugu hilo kama Nyonyo, Melia au Mwarobaini Jike na Tumbaku ambapo mti wa Melia umeonesha kufanya vizuri katika kudhibiti gugu hilo

Mti wa Meli ambao unaweza kutengenezwa kemikali zinazoua gugu Kongwa

Mwalongo amesema pamoja na kuwepo kwa matokeo hayo yanayonesha mti aina ya Melia kufanya vizuri katika kukabiliana na gugu hilo bado changamoto ni kubwa katika kuhakikisha mti huo unazalishwa kwa wingi ili kukabiliana na gugu hilo

“Kwa mfano mti huo aina ya Melia unaweza kuua hili gugu kwa kiasi gani, lakini pia bado tunachangamoto ya kwamba lazima tuone namna ya kuzalisha kwa wingi ili kuweza kuvuna na kutengeneza kemikali kwa ajili ya kunyunyizia ili kuweza kuliua hili gugu” amesema Mwalongo

Naye Prof. Antony Sangeda pamoja wa watafiti katika mradi huo amesema sababu ya kufanya utafiti wa gugu hilo wilayani Kongwa ni baada ya kuonekana asili ya gugu hilo wilayani hapo japo kuna uwezekano kuwa lililetwa kutokana na eneo hilo kuwa na historia ya kukaliwa na wapigania uhuru wa nchi zilizoko Kusini mwa Afrika

Aidha Mwenyekiti wa Kijiji cha Sejeri Kata ya Sejeri wilayani Kongwe Bw. Amos Mizengo amesema awali wenyeji wa maeneo hayo waliona gugu hilo kama sehemu ya maua na wengine walithubutu hadi kulipanda katika maeneo yao jambo ambalo lilipelekea kuenea kwa kasi kwa gugu hilo

Amesema hivi sasa gugu hilo limezunguka katika vijiji zaidi ya 10 vinavyoizunguka Ranchi ya Taifa ya NARCO na kusababisha uhaba mkubwa wa malisho kwani gugu hilo linapoota hutawala katika eneo husika na kutoruhusu nyasi au malisho mengine ya mifugo kuota katika eneo hilo.

Gugu Kongwa likiwa limekauka (Picha zote na Gerald Lwomile)

ShareTweetShare

Related Posts

SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
Kitaifa

SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19

April 12, 2022
303
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
Kitaifa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

April 12, 2022
226
Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
Habari

Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

April 12, 2022
89
KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji
Kitaifa

KCMC yapokea mitungi 300 ya Oksijeni kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye changamoto ya upumuaji

July 27, 2021
15
Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam
Kitaifa

Rais Samia kuchanjwa Chanjo ya Corona Julai 28,2021 Jijini Dar es Salaam

July 27, 2021
72
Habari

Maonesho ya Vyuo Vikuu nchini yameanza rasmi leo Julai 26, 2021

July 27, 2021
154

HABARI MPYA

  • SUA yasema hakuna haja ya kuogopa chanjo ya UVIKO 19
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia yakimwagia sifa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)
  • Habari katika Magazeti ya Leo July 29
  • Benki Kuu ya Tanzania yatangaza mambo matano yatakayosaidia kuongeza upatikanaji wa Mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba
  • Maonesho TCU yaingia siku ya tatu
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania