SUAMEDIA
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC

    Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

    LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    Mubashara:Kinachoendelea msibani kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa muda huu

    Nafasi za Kazi katika Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa

    Tume ya Uchaguzi yabadili majina ya Majimbo matatu, yatangaza Tarehe ya Kutoa Fomu

    Rais Mkapa (Kuzaliwa, Elimu, Uongozi na Urais)

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    VIDEO: SUA imeendeleza mkakati wa kuhakikisha wadau wa Elimu wanafikiwa kwa njia ya Elimu Masafa

    Video: Kilimo cha mbogamboga kwa kutumia viroba

    Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Mabula aipongeza Wizara Ya Ardhi kuwezesha Nchi kufikia Uchumi Wa Kati

    Serikali yazindua Chanjo za Kimkakati 13 za Mifugo, Waziri Mpina awaweka kitanzini Wakurugenzi

    Bupilipili: SUA inafanya mambo yake kwa vitendo ikiwa ni pamoja na utalii

    VIDEO: Katavi Mkoa wa Kilimo na Utalii unaotendea haki kasi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Tano

    Vyuo vya Kilimo nchini vyatakiwa kujiimarisha kimapato

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC

    Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

    LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    Mubashara:Kinachoendelea msibani kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa muda huu

    Nafasi za Kazi katika Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa

    Tume ya Uchaguzi yabadili majina ya Majimbo matatu, yatangaza Tarehe ya Kutoa Fomu

    Rais Mkapa (Kuzaliwa, Elimu, Uongozi na Urais)

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    VIDEO: SUA imeendeleza mkakati wa kuhakikisha wadau wa Elimu wanafikiwa kwa njia ya Elimu Masafa

    Video: Kilimo cha mbogamboga kwa kutumia viroba

    Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Mabula aipongeza Wizara Ya Ardhi kuwezesha Nchi kufikia Uchumi Wa Kati

    Serikali yazindua Chanjo za Kimkakati 13 za Mifugo, Waziri Mpina awaweka kitanzini Wakurugenzi

    Bupilipili: SUA inafanya mambo yake kwa vitendo ikiwa ni pamoja na utalii

    VIDEO: Katavi Mkoa wa Kilimo na Utalii unaotendea haki kasi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Tano

    Vyuo vya Kilimo nchini vyatakiwa kujiimarisha kimapato

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA
No Result
View All Result
Home Movie

Rais Mkapa (Kuzaliwa, Elimu, Uongozi na Urais)

by Tatyana Celestine
July 24, 2020
min read2 min
0
Buy JNews
ADVERTISEMENT

Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Benjamin William Mkapa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Julai 24, 2020 katika Hospitali jijini Dar es salaam.

RELATED POSTS

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

 

KUZALIWA
Benjamin William Mkapa alizaliwa Novemba 12, 1938 huko Ndanda Masasi Mkoani Mtwara na Amefariki Julai 24, 2020 jijini Dar es salaam.
ELIMU
Mwaka 1952, akiwa na umri wa miaka 15, alikwenda Seminari darasa la nane.
Mwaka 1957, alichaguliwa kwenda St. Francis College Pugu ambayo ilikuwa ni shule kuu ya Wakatoliki Tanganyika.
Baadaye alijiunga na Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda, ambapo mwaka 1962 alihitimu shahada yake ya kwanza kwenye Lugha ya Kiingereza.
Mwaka 1963 alijiunga na Chuo Kikuu cha Columbia ambapo alipata shahada ya uzamili kwenye Mambo ya Kimataifa.
UONGOZI
Alitumikia nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo kuwa mmoja wa maafisa mkoani Dodoma.
Katika kuitumikia nchi, mwaka 1982 Mwalimu Nyerere alimtuma kuongoza mpango wa Tanzania na Canada ambao ulilenga kujenga mahusiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Uchumi.
Pia alikuwa kiongozi wa mpango mwingine wa nchi katika kutengeneza mahusiano ya kimaendeleo na Marekani kati ya mwaka 1983 na 1984.
KUONGOZA WIZARA 
Katika uongozi wa Serikali ya kwanza ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mkapa aliteuliwa kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje na akahudumu kutoka mwaka 1977 – 1980.
Baadaye Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni kati ya mwaka 1980 – 1982.
Marehemu Mkapa aliteuliwa tena kuwa Waziri wa Mambo ya Nje kati ya mwaka 1984 – 1990.
URAIS
Mwaka 1995, Marehemu Rais Benjamin Mkapa aliteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huo ndio ulikuwa wa kwanza chini ya Mfumo wa Vyama vingi vya siasa na alishinda na kutangazwa kuwa Rais wa Awamu ya Tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Novemba 23, 1995 akaapishwa.
Alihudumu Ikulu kwa miaka 10 kutoka mwaka 1995 – 2005.
NAFASI NYINGINEZO
• April 1972 Mwalimu Nyerere alimteua kuwa Mhariri Mtendaji wa Daily News
• Muda mfupi baadaye Mwalimu alimteua kuwa Press Secretary wa Rais.
• Mwaka huohuo, Mwalimu alimuagiza aanzishe Shirika la Habari Tanzania – SHIHATA na kuwa Mtendaji Mkuu wake.
• Mwaka 1976 akamteua kuwa Balozi huko Nigeria
•  Mwaka 1982 Aliteuliwa kuwa Balozi wa Canada
• Mwaka 1983 – 1984 Aliteuliwa kuwa Balozi nchini Marekani
ShareTweetPin

Tatyana Celestine

Related Posts

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo
Kilimo

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

September 16, 2020
Kitaifa

Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

September 16, 2020
Kitaifa

LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

September 16, 2020
Kilimo

BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

September 16, 2020

Mubashara:Kinachoendelea msibani kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa muda huu

July 24, 2020

Nafasi za Kazi katika Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa

July 24, 2020
Next Post

Habari katika Magazeti ya Leo Ijumaa July 24

Tume ya Uchaguzi yabadili majina ya Majimbo matatu, yatangaza Tarehe ya Kutoa Fomu

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published.

HABARI MPYA

  • Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo
  • Habari katika Magazeti ya leo Jumatatu August 17
  • Habari katika Magazeti ya leo Ijumaa August 14
  • Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC
  • Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania