SUAMEDIA
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC

    Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

    LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    Mubashara:Kinachoendelea msibani kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa muda huu

    Nafasi za Kazi katika Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa

    Tume ya Uchaguzi yabadili majina ya Majimbo matatu, yatangaza Tarehe ya Kutoa Fomu

    Rais Mkapa (Kuzaliwa, Elimu, Uongozi na Urais)

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    VIDEO: SUA imeendeleza mkakati wa kuhakikisha wadau wa Elimu wanafikiwa kwa njia ya Elimu Masafa

    Video: Kilimo cha mbogamboga kwa kutumia viroba

    Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Mabula aipongeza Wizara Ya Ardhi kuwezesha Nchi kufikia Uchumi Wa Kati

    Serikali yazindua Chanjo za Kimkakati 13 za Mifugo, Waziri Mpina awaweka kitanzini Wakurugenzi

    Bupilipili: SUA inafanya mambo yake kwa vitendo ikiwa ni pamoja na utalii

    VIDEO: Katavi Mkoa wa Kilimo na Utalii unaotendea haki kasi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Tano

    Vyuo vya Kilimo nchini vyatakiwa kujiimarisha kimapato

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
SUBSCRIBE YOUTUBE
  • MWANZO
  • HABARI
    • All
    • Kimataifa
    • Kitaifa
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC

    Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru

    LIVE: Mwili wa Rais Mkapa unaagwa Uwanja wa Uhuru, Mkewe aishiwa nguvu, Magufuli, majonzi yatawala

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    Mubashara:Kinachoendelea msibani kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa muda huu

    Nafasi za Kazi katika Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa

    Tume ya Uchaguzi yabadili majina ya Majimbo matatu, yatangaza Tarehe ya Kutoa Fomu

    Rais Mkapa (Kuzaliwa, Elimu, Uongozi na Urais)

    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • All
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Kilimo
    • Ufugaji na Uvuvi
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo

    BOOK OF THE WEEK- “Increasing Production from the Land: A Source Book on Agriculture for Teachers and Students in East Africa” 

    VIDEO: SUA imeendeleza mkakati wa kuhakikisha wadau wa Elimu wanafikiwa kwa njia ya Elimu Masafa

    Video: Kilimo cha mbogamboga kwa kutumia viroba

    Naibu Waziri wa Ardhi Dkt. Mabula aipongeza Wizara Ya Ardhi kuwezesha Nchi kufikia Uchumi Wa Kati

    Serikali yazindua Chanjo za Kimkakati 13 za Mifugo, Waziri Mpina awaweka kitanzini Wakurugenzi

    Bupilipili: SUA inafanya mambo yake kwa vitendo ikiwa ni pamoja na utalii

    VIDEO: Katavi Mkoa wa Kilimo na Utalii unaotendea haki kasi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Tano

    Vyuo vya Kilimo nchini vyatakiwa kujiimarisha kimapato

    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG
No Result
View All Result
SUAMEDIA
No Result
View All Result
Home Editorial

Cosota yapewa saa 24 kuwasilisha mkakati utakaowanufaisha Wasanii

by Tatyana Celestine
July 16, 2020
min read2 min
0

RELATED POSTS

LEO Yanga na Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Dirisha la uhamisho EPL kufunguliwa Julai 25

Tanzania kuchukua nafasi ya Libya?

Buy JNews
ADVERTISEMENT
Na Shamimu Nyaki-WHUSM
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hasaan Abbasi ametoa saa 24 kwa Bodi na Menejimenti ya Chama cha Hakimiliki na Haki Shirikikishi Tanzania (COSOTA) kuwasilisha mkakati wa namna Wasanii watakavyonufaika kupitia Taasisi hiyo.
Katibu Mkuu ametoa agizo hilo jana  Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya makabidhiano ya chama hicho kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara kwenda Wizara anayoisimamia.
“Tumshukuru Rais John Magufuli kwa sababu mjadala wa kwa nini COSOTA ipo Wizara ya Viwanda na Biashara umekuwa mrefu, lakini ndani ya saa 24 tangu Julai 12, 2020 Rais aliweza kusaini Waraka wa kuihamishia Wizarani kwetu”, Dkt. Abbasi.
Aliongeza kuwa taasisi hiyo inatakiwa kuhakikisha kuwa inawasaidia wasanii katika kusimamia haki zao ili kuondokana na umaskini na kufikia malengo waliyojiwekea katika kazi zao za Sanaa kwani ni jukumu la taasisi hiyo kuhakikisha kuwa inamsaidia msanii kutoka kuwa msanii maarufu maskini na kuwa msanii maarufu tajiri.
Aidha, Dkt. Abbasi aliongeza kuwa taasisi hiyo kuhamia Wizara ya Habari ni jambo jema katika kutekeleza majukumu ya kila siku ya Idara ya Maendeleo ya Sanaa kwa kuhakikisha wasanii wanapata huduma kwa wakati na chini ya mwamvuli mmoja.
Dkt. Abbasi alieleza kuwa kwa sasa kuna mabadiliko na mafaniko mengi katika sekta ya Sanaa ambapo Juni 26, 2020 Wizara ilifanikiwa kutangaza Kanuni za Filamu na Michezo ya Kuigiza kupitia gazeti la Serikali namba 488 ambapo kuna manufaa mengi kwa wasanii ikiwemo kupungua kwa tozo za filamu kutoka shilingi 500,000/= hadi shilingi 50,000/= lengo ikiwa ni kuwawezesha kutengeneza filamu zenye ubora.
Vile vile faida nyingine ya kanuni hizo ni kuwepo kwa kamati ya kutetea haki za wasanii ambapo Serikali imefanikiwa kurejesha kiasi cha milioni 200 ambapo kati ya hizo, shilingi milioni 65 zilirejeshwa kwa familia ya marehemu Mzee Majuto pamoja na kiasi cha milioni 20 zilirejeshwa kwa familia ya marehemu Steven kanumba kutoka katika kampuni ambazo ziliingia mikataba na Wasanii hao.
Naye Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe ameutaka uongozi wa taasisi hiyo kuendelea kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Habari katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi.
Kwa upande wa Afisa Mtendaji wa COSOTA, Doreen Sinare ameahidi kusimamia kwa ufanisi majukumu ya taaasisi hiyo inayosimamia haki miliki pamoja na kusajili wabunifu kukusanya na kugawa mirabaha na kusuluhisha mogogoro inayohusiana  na haki miliki pamoja na kutoa ushauri.
Nao baadhi ya wasanii walitoa maoni yao kuhusiana na makabidhiano haya ambapo Msanii wa Filamu na Michezo ya kuigiza, Vyonne Cherrie (Monalisa) ameeleza kufurahishwa na uamuzi wa kuhamishwa kwa taasisi ya COSOTA kwenda Wizara ya Habari kwani imeepusha milolongo mingi ya ufuatiliaji wa kazi za filamu na sanaa.
Huku Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Kala Jeremiah alisema kuwa ulinzi na ulezi wa sanaa unatakiwa kwenda pamoja hivyo ni jambo jema kwa COSOTA kuhamia Wizara ya Habari ili waweze kufanya kazi kwa ushrikiano na BASATA.
ShareTweetPin

Tatyana Celestine

Related Posts

LEO Yanga na Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro

July 22, 2020

Dirisha la uhamisho EPL kufunguliwa Julai 25

July 22, 2020

Tanzania kuchukua nafasi ya Libya?

July 21, 2020

Bondia Mwakinyo kupigania mkanda wa WBF Agosti 14 mwaka huu

July 10, 2020

Diamond Platnumz analinganishwaje na nyota wengine wa Afrika katika mtandao wa YouTube?

June 23, 2020

Virusi vya Corona: Tokyo yapokea mwenge wa Olimpiki bila shamrashmra

March 20, 2020
Next Post

Je, ni kwanini uteuzi wa Mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam umezua gumzo mitandaoni?

SADC yazipongeza Tanzania na Mauritius kupanda kiuchumi

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published.

HABARI MPYA

  • Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chapongezwa kwa ubunifu katika Kilimo
  • Habari katika Magazeti ya leo Jumatatu August 17
  • Habari katika Magazeti ya leo Ijumaa August 14
  • Human Rights Watch yahimiza uchunguzi wa kuaminika kuhusu miili iliyokutwa mtoni DRC
  • Mubashara: Asubuhi hii: Mwili wa Hayati Mkapa kuelekea uwanja wa Uhuru
  • MWANZO
  • HABARI
  • MAKALA
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • HABARI
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • MAGAZETI
  • MAKALA
    • Kilimo
    • Hifadhi, Utalii na Mazingira
    • Ufugaji na Uvuvi
  • TAFITI
  • MICHEZO & BURUDANI
  • 101.1 SUA FM
  • SUA TV
  • SUAMEDIA BLOG

© 2020 Sokoine University of Agriculture Media, Tanzania